Mafundi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam DAWASA wamekamilisha kazi ya usafishaji miundombinu ya majitaka mtaa wa Shaurimoyo na Lindi Kata ya Kariakoo.
Kukamilika kwa kazi hiyo kutaboresha Mazingira ya utendaji kazi kwa wafanyabiashara wa spea za magari katika mtaa huo kumaliza harufu iliyosababishwa na utiririkaji wa majitaka kiholela.

.jpeg)


0 Comments