Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mwalimu Mhakiki wa Maandishi ya Breli na Michoro ya Mguso kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania Bi. Hadija Salum wakati akitoa maelezo kuhusu matumizi ya michoro ya mguso katika ufundishaji wa watoto wa Elimu ya Awali, Wanafunzi wa Darasa la Kwanza na la Pili, mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), tarehe 29 Januari, 2026.
0 Comments