Na. WAF, Dar es Salaam
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa amezitaka hospitali za Rufaa nchini kuhaikikisha zinafanikisha utaratibu wa kupata ithibati za kimataifa ili kutambulika kwa urahisi na kuvutia tiba utalii nchini
“Serikali ya awamu ya sita imefanya kila linalowezakana kuhakikisha hospitali zote zinakuwa na vifaa tiba vya kutosha na kupeleka huduma kwa wananchi, natoa maelekezo Katiby Mkuu hakikisha hiz hospitali zinapata Ithibati za kimataifa ili kuvutia tiba utalii kutoka kwa mataifa mbalimbali” amesema Waziri Mchengerwa

0 Comments