Ukitembelea Banda la UDOM utapata huduma ya afya bure, msaada wa kisheria bure, kujua miradi inayotekelezwa UDOM, tafiti mbalimbali, watoto kujifunza Uchoraji na huduma nyinginezo.Watumishi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wakiwahudumia wananchi mbalimbali waliotembea banda la chuo hicho katika katika viwanja vya Saba Saba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.(PICHA ZOTE NA EMMANUEL MASSAKA,MMG )

0 Comments