Mbunge wa Chalinze,Ridhiwani Kikwete ameshiriki kikao cha Baraza la Madiwani Cha Chama Cha Mapinduzi kuchagua diwani atakayegombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chalinze kilichofanyika Chalinze ,mapema leo.#KaziInaendelea

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Juni 22,2026 Miaka iliyopita, Mkoa wa Pwani ulionekana zaidi …
Copyright (c) 2023 Ashamotz All Right Reseved
0 Comments